• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Huduma za Sekta ya Elimu


Huduma za Sekta ya Elimu Msingi

 HUDUMA ZINAZOTOLEWA NA IDARA YA ELIMU YA MSINGI;

Kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa taarifa za ukaguzi wa shule za msingi.

Kusimamia utekelezaji wa Sera ya Elimu na miongozo ya Elimu rasmi na elimu nje ya mfumo rasmi pamoja na uboreshwaji wa Taaluma

Kuratibu na kusimamia uendeshaji wa majaribio, mitihanai ya ndani, mkoa na Taaifa Elimu ya msingi.

Kuratibu na Kusimamia ufanyikaji wa mashindano ya Taaluma kwa shule za msingi yanayoadhimishwa katika kilele cha wiki la elimu kila mwaka.

Kuratibu na kusimamia Elimu nje ya mfumo rasmi kupitia mpango wa elimu kwa walioikosa (MEMKWA)

Kusimamia na kuendesha Uwiano wa Kielimu kati ya Jamii (MUKEJA) kupitia vikundi vya ujasiriamali.

Kuratibu na Kusimamia ufanyikaji wa michezo na mashindano ya michezo ya UMITASHUMTA kwa shule za msingi.

Kusimamia na kuhakikisha walimu na watumishi wengine wasio. Walimu wa shule za msingi wanafanyiwa tathmini ya wazi ya utendaji kazi (OPRAS).

Kuratibu na kusimamia ukusanyaji, uchambuzi na utumaji/utoaji wa takwimu sahihi za Elimu ya msingi.

Kusimamia na kufuatilia ukarabati, upanuzi na ujenzi wa shule za msingi.

Kuratibu na kusimamia uagizaji na usambazaji wa vifaa vya shule kufuatana mahitaji ya shule.

Kufanya makisio ya walimu na walimu wa ufundi kulingana na idadi ya shule na Wanafunzi.

Kusimamia usajili wa shule za Serikali na zisizo za Serikali

Kukusanya takwimu, kuchambua na kuunganisha

Kushughulikia uhamisho wa ndani na nje ya Mkoa kwa wanafunzi

Kuhakikisha haki za walimu zinalipwa kwa wakati

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA DARASA LA IV-2020 January 15, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SEKRETARIETI YA AJIRA 17 JAN,2021 January 17, 2021
  • TANGANZO LA NAFASI ZA KAZI SEKRETARIETI YA AJIRA 22 JAN,2021 January 22, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SEKRETARIETI YA AJIRA 28 JAN,2021 January 28, 2021
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • Baraza la Madiwani lapitisha rasimu ya Bajeti ya shilingi Bilioni 44.3 mwaka 2021/2022 Misungwi.

    February 17, 2021
  • Mwanamke mwenye Ulemavu wa Miguu akabidhiwa Mkopo wa Bajaji ya Abiria Misungwi

    February 14, 2021
  • Waziri Jafo awasifu Viongozi Misungwi, kwa usimamizi mzuri ujenzi wa Hospitali Wilaya

    January 05, 2021
  • Waziri Kalemani aagiza Tannesco kuweka Transfoma Mgodi wa Busolwa na maeneo ya Usagara Misungwi

    December 31, 2020
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2020 Misungwi District Council . All rights reserved.