• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Maendeleo ya Jamii

 IDARA YA MAENDELEO YA JAMII

Idara ya Maendeleo ya Jamii ni Miongoni mwa Idara 12 zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi. Idara ina Jumla ya Vitengo 06 ambavyo ni:- Wanawake, Jinsia na Watoto, Kitengo cha Maendeleo ya Vijana, Kitengo cha UKIMWI, Kitengo cha Ustawi wa Jamii, Kitengo cha Utafiti, Takwimu na Mipango na Kitengo cha Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF). Idara ina Jumla ya Watumishi 17.[;’

Majukumu ya Vitengo hivyo ni kama ifuatavyo:-

Kitengo cha Wanawake, Jinsia na Watoto:-

  • Kuratibu na kusimamia Maendeleo ya Jinsia na Uingizaji wa masuala ya Jinsia katika Sera za Sekta mbalimbali.
  • Kuwawezesha Wanawake kiuchumi kwa kuwapatia Mikopo yenye masharti nafuu na Mafunzo ya Ujasiriamali.
  • Kuwezesha watoto kupata haki zao za msingi kwa mujibu wa katiba wa nchi.

Kitengo cha Vijana:-

  • Kuhamasisha Jamii hasusani kundi la Vijana kuondokana na matumizi ya Madawa ya Kulevya.
  • Kuhamasisha Vijana kuwa na shughuli endelevu hasa za kujiajiri kwa ustawi kwa maisha yao.
  • Kuwawezesha Vijana kiuchumi kwa kuwapatia Mikopo yenye masharti nafuu na Mafunzo ya Ujasiriamali.

Kitengo cha UKIMWI:-

  • Kuratibu shughuli zote za kudhibiti UKIMWI katika Halmashauri kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kama vile Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali (NGOs), Vikundi vya Kijamii (CBOs) na Mashirika ya Kidini (FBOs) zinazojishughulisha na mapambano dhidi ya UKIMWI.

Kitengo cha Ustawi wa Jamii:-

  • Kutoa huduma na kusimamia shughuli za Ustawi wa Familia na Watoto
  • Kuratibu na kusimamia mienendo ya Kesi/Mashauri mahakamani kwa watoto na watu wazima.
  • Kutoa huduma kwa makundi maalumu yaliyopo katika Jamii.

Kitengo cha Utafiti, Takwimu na Mipango:-

  • Kubaini matatizo yanayokwamisha Maendeleo ya Jamii na kubuni njia sahihi za kukabiliana na matatizo hayo.
  • Kuandaa na kutunza Takwimu mbalimbali zinazohusiana na makundi mbalimbali yaliyopo katika Jamii.
  • Kuandaa Mipango ya Utekelezaji wa Shughuli za Idara
  • Kuandaa taarifa za utekelezaji wa shughuli za Idara na kuziwasilisha katika mamlaka husika.

Kitengo cha TASAF:-

  • Kuwawezesha wananchi kiuchumi, hasa watu masikini na waishio katika mazingira magumu kuongeza kipato chao na hivyo kuondokana na hali duni ya maisha.

Majukumu ya Idara ya Maendeleo ya Jamii kwa ujumla:-

  • Kushirikisha Jamii katika kubuni na kupanga miradi ya maendeleo
  • Kuhamasisha Jamii kuondokana na mila potofu zinazorudisha nyuma maendeleo ya Jamii kama vile mauaji ya Vikongwe, mauaji ya watu wenye Albinism, Ukeketaji wa Wanawake nk.
  • Kuhamasisha Uanzishaji na Usajili wa Vikundi vya Kiuchumi na Ujasiriamali
  • Kuhamasisha Jamii kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa Sera, Programu na Mipango ya Sekta zote zinazohusika na Maendeleo ya Jamii kwa ujumla
  • Kueneza elimu ya uraia mwema       
  • Kufanya uhakiki na ufuatiliaji kwa Vikundi vya Kiuchumi na Ujasiriamali
  • Kuhamasisha mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi
  • Kuhamasisha Wananchi kuwa na moyo wa kushiriki ipasavyo katika shughuli za Maendeleo kwa njia ya kujitolea.
  • Kuhamasisha Jamii hasa kundi la Vijana kuondokana na matumizi ya Madawa ya Kulevya.
  • Kuhamaisha Jamii kuwa na desturi ya kujiwekea akiba badala ya kutumia kipato chote ili kujiletea maendeleo na hivyo kuondokana na umasikini.
  • Kuwajengea uwezo wananchi kwa kuwapatia mafunzo, Ujuzi na Stadi mbalimbali za kazi.
  • Kuhamasisha wananchi kuwa na shughuli endelevu hasa za kujiajiri kwa ustawi kwa maisha yao.
  • Kuratibu na kusimamia Maadhimisho ya Siku za Kitaifa.
  • Kusikiliza na kutatua mashauri mbalimbali kama vile:-Mashauri ya ndoa, Ardhi nk.
  • Kuhamasisha uhifadhi na utunzaji wa Mazingira kama vile Upandaji wa Miti nk.
  • Kubaini Matatizo mbalimbali yanayokwamisha jitihada za kuleta maendeleo na kuyawekea Mikakati ya namna ya kuyakabili.
  • Kuwezesha Jamii kubadili mtazamo na fikra zisizo sahihi katika mgawanyo wa kazi, Majukumu na Rasilimali kwa kuwapa Wanawake furrsa ya kumiliki ardhi na mali zote ambazo wana haki nazo.
  • Kuhakikisha wananchi wanatumia Rasilimali walizonazo kwa usahihi kwa ajili ya shughuli za uzalishaji mali kama vile Kilimo, Ufugaji, Uvuvi nk.
  • Kuwezesha Jamii kuweka utaratibu mzuri wa kuhudumia Makundi maalumu yaliyopo katika Jamii kama vile Yatima, Wazee, Watu wenye Ulemavu, Watoto Waishio katika Mazingira Hatarishi nk.
  • Kuratibu na kusimamia Maendeleo ya Jinsia na Uingizaji wa masuala ya Jinsia katika Sera za Sekta mbalimbali.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DAS Misungwi awapongeza Watendaji Halmashauri kwa kushirikiana na Madiwani katika kuongeza ufanisi na ukusanyaji wa Mapato.

    April 29, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yafanya ziara ya yatembelea na kupata mafunzo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya nyang'hwale Mkoani Geita

    April 25, 2025
  • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango yaridhishwa na miradi ya maendeleo ya Halmashauri Wilaya ya Misungwi

    April 23, 2025
  • Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yawataka Watendaji wa Kata na Vijiji kutoa Elimu ya Shughuli za Lishe kwa Wananchi.

    February 27, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.